Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania

TIRA Logo
Majukumu Yetu
  • Kuandaa na kusimsia utekelezaji wa kanuni za maadili kwa wadau wa sekta ya bima;
  • Kusimamia na kufuatilia utendaji wa kampuni za bima;
  • Kuandaa viwango viwango vya uendeshaji wa biashara ya bima ambavyo vitazingatiwa na kampuni za bima;
  • Kuhakikisha kanuni za maadili ya utendaji katika sekta ya bima zinazingatiaji kwa usahihi;
  • Tekeleza kazi nyingine yoyote kama itakavyohitajika kwa mujibu wa Sheria;
  • Kulinda maslahi ya mkata bima; na
  • Kubainisha sifa zinazohitajika kwa wataalamu wa sekta ya bima;