Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania

TIRA Logo
Tunachofanya

Majukumu ya Mamlaka. 

  • Kusajili kampuni za bima nchini;
  • Kusimamia na kukagua mwenendo wa kampuni za bima nchini;
  • Kushughulikia malalamiko ya wananchi dhidi ya huduma za bima;
  • Kutoa elimu ya bima kwa umma;  na
  • Kusimamia biashara ya bima na masula yanayohusika na bima kwa mujibu wa sheria.