Tunachofanya
Majukumu ya Mamlaka.
- Kusajili kampuni za bima nchini;
- Kusimamia na kukagua mwenendo wa kampuni za bima nchini;
- Kushughulikia malalamiko ya wananchi dhidi ya huduma za bima;
- Kutoa elimu ya bima kwa umma; na
- Kusimamia biashara ya bima na masula yanayohusika na bima kwa mujibu wa sheria.