Uzinduzi wa  Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima ya Miaka mitatu (2019 - 2021) na Miongozo Minne ya Bima
                                
                                
                                
                                
                                
                            
  
                        
                                
                                     
                                    07 Oct, 2022
                                
                                
                                     
                                    15:00 - 
                                
                            
                        
                                
                                     
                                    Hyatt- Kilimanjaro Hotel in Dar es Salaam
                                
                            
                        
                                
                                     
                                    eliezer.rweikiza@tira.go.tz
                                
                            
                        Mamlaka ya Usimamzi wa Bima Tanzania (TIRA) itazindua Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima ya Miaka mitatu (2019 - 2021) na Miongozo ya Bima tarehe 7 Oktoba, 2022 kuanzia saa 9 mchana katika Hotel ya Hyatt- Kilimanjaro jijini Dar es Salam.
Mgeni Rasmi atakuwa Mh. Saada Salum Mkuya (Mb) Waziri Ofisi ya Rais – Fedha na Mipango – Zanzibar.
Mnakaribishwa
                            
            