TIRA NDANI YA MAONESHO YA KILIMO NANE NANE, MBEYA
                        
                        
                        
                        
                        
                    
 
                
                            Watumishi mbalimbali kutoka TIRA, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini,  katika Maonesho ya Kilimo jijini Mbeya ambapo pia alikuwepo  Mkurugenzi wa Mipango, Utafiti na Uendelezaji Masoko Bw. Samwel Mwiru na Meneja wa Meneja wa Nyanda za Juu Kusini Bi. Neema Lituli
                        
                    
            